Wednesday, November 28, 2012

M23 sasa waondoka Goma


M23 wakiondoka Goma.
Kufuatia juhudi za kimataifa na mataifa jirani, hatimaye waasi wa M23 katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamekubali kuondoka Goma na sasa wanakwenda kujikusanya kwenye mji wa Sake, nje kidogo ya Goma.