Tuesday, October 2, 2012

MAHABA NI SANAA INAYOJITEGEMEA!



 


je ulikutana wapi na mpenzi wako kwa mara  ya kwanza? hili ni jambo kubwa na la msingi! katika maisha yako ya kimapenzi na hata kwa kujiwekea kumbukumbu!
inawezekana mmekutana katika mazingira ambayo yanweza kukufanya ujisikie aibu ama udhalili fulani hivi, labda bar, msibani, kituo cha basi, kazini kwako, kwenye movie mloigiza pamoja,harusini ama kwingineko.
kwangu mimi haijalishi , ninachokusihi ni kusahau kumbukumbu mbaya akilini mwako na kuichukua hiyo kama historia na kuifanyia kazi na kulidumisha penzi lako kadiri unavyojaaliwa na changanya na kiasi cha ubunifu kidogo mambo yatakua mswano au mazuri.